DUWA YA ALJUJUMIYATI# UNAIJUWA#KUWEZA BADILISHA# TABIA NA HULKA#

Full Transcript — Download SRT & Markdown

00:05
Speaker A
Assalamualaikum warahmatullahi taala wabarakatuh.
00:10
Speaker A
Karibuni karibuni wafuatiliaji wa Online TV.
00:15
Speaker A
Leo tunawalezea masomo yetu mbalimbali.
00:20
Speaker A
Ama kama heading ilivyozungumza, kumbadilisha mtu, kumtoa kwenye sehemu mbaya kumpeleka sehemu nzuri, au kumwachanisha mtu na maasi ama ulevi ama uzinzi.
00:34
Speaker A
Ama ndoa iliyokuwa si swahili kuitenganisha wanapokuwa hakuna maslahi ya herati eh kimahali cha kiislamu.
00:45
Speaker A
Ikizungumzia inamaanisha pengine mabinti wako olewa na muhuni, kaolewa na mtu ambaye hastahili kuwa naye mwanamke huyo.
00:55
Speaker A
Kutokana na maadili yake mabaya ya ulevi na vitu vibaya anavyofanya juu ya mtoto wako vingi visivyosemeka.
01:02
Speaker A
Basi una uwezo wa kutumia dua hii al-Jumati.
01:10
Speaker A
Kwa kutumia nazi eh unaisomea dua hii mara tatu kwenye nazi hiyo.
01:17
Speaker A
Kwanza unatakiwa uwe msafi vile vile utie wudhu usiku yoyote au wakati wowote.
01:24
Speaker A
Unakaa unaelekea kibla, utaswali rakaa mbili, sura rakaa ya kwanza utasoma Alhamdu moja na Qul Huwallahu mara 31.
01:35
Speaker A
Na rakaa ya pili utasoma Alhamdu utasoma na Alam Nashrah mara 31 kumtaka Mwenyezi Mungu akulianie jambo lako hilo ufanyikishe.
01:46
Speaker A
Hii unaweza ukamfanyia mtu yeyote yule ambaye unataka kumcorrect aachane na mambo mabaya aende kwenye mambo mazuri.
01:55
Speaker A
Ama kumtenganisha na vikundi vibaya, yaani wewe mzee kama una mtoto wako.
02:02
Speaker A
Kaharibika kutokana na vijana wanaokaa nao mtaani, kawa mlevi, kawa mzinzi asiyeleweka, basi hebu swali rakaa mbili hizo.
02:12
Speaker A
Na usome dua hii kutumia nazi moja, chukua nazi yako moja yoyote ile, chukua na uisomee dua hii al-Jumati mara tatu.
02:22
Speaker A
Baada ya ukishaswali rakaa mbili kama nitakavyokuonyesha kibla, chukua nazi yako karibu na mdomo vile ukisema ule upepo uamke kwenye nazi ile.
02:33
Speaker A
Useme eh Mwenyezi Mungu muumba mbingu na ardhi umekataza maasi na.
02:40
Speaker A
Hutakidi kuona mja wako anafanya mambo yasiyoeleweka, basi Mwenyezi Mungu naomba unisaidie juu ya hili pindi nitakapo nazi hii nitakuisomea dua hii na nazi hii nitakapo isambaratisha.
02:53
Speaker A
Basi kikundi kibaya anachoongezana na mwanangu basi wawe mbalimbali asishiriki kwenye vikundi vibaya.
03:00
Speaker A
Au pindi nitakapo nazi hii nitakapoibanga basi aachane na ulevi wa aina yoyote ule, kulewa, kuvuta bangi, uzinzi.
03:12
Speaker A
Ina maana nia yako ile unakusudia unaweza ukamfanyia mtu eh moja kwa moja.
03:20
Speaker A
Ama wewe kijana wewe ukiwa unasumbuliwa na ulevi ambao una uwezo kwamba kusema ah mbona ulevi mimi nataka niache lakini siwezi kuacha.
03:30
Speaker A
Wakati mwingine inakuwa pengine ni mazoea lakini wakati mwingine inakuwa ni uswahili vile vile unachangia maana watu wanarogana kila kukicha inaweza kuwa ni uswahili umefanyishiwa ili uwe mlevi.
03:45
Speaker A
Usiache uwe mlevi uharibikiwe na maisha yako basi pia una uwezo wa kuchukua nazi hiyo ukafanya dua hii ukajinuilia Mwenyezi Mungu kama nilifanyiwa mimi niwe mpotevu niwe mlevi kwa kupindukia niache kufanya mema niache kufanya herati basi pindi nazi hii nitakaposomea dua hii al-Jumati Mwenyezi Mungu nikaasambaratisha katika njia panda basi Mwenyezi Mungu ubaya huo ule ulevi huo unatokee moja kwa moja ya Ilahi.
04:00
Speaker A
Naam, dua yenyewe inasomwa kama hivi.
04:03
Speaker A
Bismillahirrahmanirrahim. Allahumma inni ajhaztu wa ajhaztu ajhaztu hadhal jami'a yatafarra'u wala yakadu yus'i'uhu wa ya'tihi al-mawtu min kulli makan.
04:13
Speaker A
Wa ma huwa bi mayyitin wa min wara'ihi 'adhabun ghaliz. Allahumma inni as'aluka bil-jamm'iyyati wa bil-asma'illahi al-qawiyyati qasmihim al-mubliyyati alam tara ila alladhina kharaju.
04:24
Speaker A
Inaendelea.
04:25
Speaker A
Min diyarihim wa hum ulufun hadharal mawti fa qala lahum Allahu mutu wa akhraja lahum al-hidayata wa saqahum.
04:35
Speaker A
Sharri sharri 'adhuwwatihim al-mubliyyati Allahumma qad fahamtu wa sadaqtuhum wa sadaqtuhum wa sadaqtuhum wa sana'tuhum.
04:45
Speaker A
Wa khadzaftuhum wa nazzaqtuhum wa mazzaqtuhum Allahumma wahhad arkanahum wa farraq jam'ahum wa shattat shamlahum wa khalif amrahum wa mashurahum wa aw.
04:55
Speaker A
Fa'alhum 'ala manakhirihi inkash'u inkash'u taz'az'ahum taz'az'ahum nuzi'u wa 'aqabihim raja'u.
05:05
Speaker A
Inni 'alimtu al-majri'a qultu al-muhilla al-maw'ud alam yuhlik al-awwalina wa lam yus'i'hum al-akhirin.
05:15
Speaker A
Fa'ashiruhu sharrihiyatun sa'kinatun ahya ahya sharrihiyatun barahiyatun barahiyatun qad mahiyatun aduwwun ya'tihi sab'atun.
05:25
Speaker A
Hasabatun 'ala shaddai ka'annahum yawma yarawna ma yu'aduna lam yalbathu illa sa'atan min naharin balaghun fahal yuhliku illa al-qawmu al-fasiqoon.
05:35
Speaker A
Eh adiri dhu nayyiki al-hamiqin munfaridin alam tara kayfa fa'ala rabbuka bi ashab al-fil.
05:45
Speaker A
Alam yaj'al kaydahum fi tadlil wa arsala 'alayhim tayran ababil tarmihim bi hijaratin min sijjin fa ja'alahum ka'asfin ma'kul.
05:55
Speaker A
Ajril 'ajril 'adhim al-ma'ihun mashashun ruqashun arqashun ruqashun ruqashun fa inna 'alayhim amin amin amin.
06:05
Speaker A
Naslukuhum 'adhaban sa'idan habtalashi habtalashi habtalashi habtalashi habtalashi habtalashi maqabirihim maqabirihim salahi salahi fa qahhi salahi hahi hahi.
06:15
Speaker A
Eh utasoma kama hivyo utamalizia na kipande hichi.
06:20
Speaker A
Ihs'u fiha wala tukallimuni hayya ajhaztu ajhaztu ajhaztu ahlal ihlil khujlatuha khujlatuha.
06:30
Speaker A
Sayuhzamul jam'u wa yuwalluna al-dubur bal al-sa'atu maw'iduhum wa al-sa'atu adha. Wa sallallahu 'ala sayyidina Muhammadin wa 'ala alihi wa sahbihi wa sallam.
06:40
Speaker A
Walhamdulillahi rabbil 'alamin.
06:42
Speaker A
Ndugu yangu, dua kama nilivyokuonyesha utaanza kama nilivyokuonyesha.
06:46
Speaker A
Utasoma kwa umakini utarejea mara tatu, baada ya kurejea mara tatu.
06:54
Speaker A
Basi utakuwa umemaliza kutatia matumaini yako kwa ulivyokusudia kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.
07:04
Speaker A
Useme Mwenyezi Mungu kwa baraka ya dua hii naitaji ya kaza kaza ile shida yangu utaizungumza.
07:10
Speaker A
Kama kumwachanisha mtoto wako na maasi ama ulevi ama vitu vibaya wasi utaambia Mwenyezi Mungu.
07:18
Speaker A
Pindi nitakapo nazi hii nikaenda kuisambaratisha njia panda kama zilivyokuwa zimegawanyika basi na mimi pindi nitakapoibanga nazi hii.
07:28
Speaker A
Basi nasambaratisha mwanangu na ulevi na mambo mabaya yamuepuke kabisa.
07:35
Speaker A
Naam ndugu yangu tuishie hapa.
07:38
Speaker A
Tuonane kwenye video nyingine.
07:42
Speaker A
Tafadhali kama hujasubscribe kwa channel hii.
07:45
Speaker A
Basi subscribe ili uwe mwanafamilia.
07:51
Speaker A
Vile vile share na kucomment pia.
07:54
Speaker A
Ahsantum.

Get More with the Söz AI App

Transcribe recordings, audio files, and YouTube videos — with AI summaries, speaker detection, and unlimited transcriptions.

Or transcribe another YouTube video here →